UWASILISHAJI WA MATOKEO YA TAFITI YA KUANGALIA HUDUMA ZA UUGUZI NA UKUNGA
![image description](http://www.njomberrh.go.tz/storage/app/uploads/public/630/5dd/56d/6305dd56d7d5d932961999.jpeg)
Saturday 27th, July 2024
@Ukumbi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe
Mtaalamu wa tafiti Ndg. Evaristus P Makota, akiwasilisha matokeo ya utafiti alioufanya kuangalia huduma za uuguzi na ukunga zinazotolewa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe